Sunday, August 26, 2012

KUTOSHIRIKI SENSA YA WATU NA MAKAZI TANZANIA SIO UHAINI WALA KUVUNJA SHERIA !!!

Wa-ssalaam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh.  -   Nimeingiza  humu leo hii 27/8/2012.

I watched yesterday's  (26/8/2012) 8.00pm ITV news bulletin (Tanzania) where the sitting president  made a statement tantamount to criminalising the refusal of Muslims in Tanzania to participate  in the ongoing exercise of The Population Census recording.

Actually, according to the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977 "every person has a right to the FREEDOM of CONSCIENCE" under ARTICLE 19.  In Swahili, this part which is the first sentence of the said article reads "  "KILA MTU ANASTAHILI KUWA NA UHURU WA MAWAZO". 

It is not a CRIMINAL ACT to refuse to be counted.  Henceforth when Muslims refuse to comply with the Census Clerk's wherever they are they are exercising this basic right of freedom of Conscience and not breaking any law.  

Jambo hili laelekea wengi hatulifahamu.  Na mfano mzuri ni Askari Jeshi  kukataa kwenda pigana vitani kuilinda nchi yake.  Uhuru huo anao na anapojieleza kwamba nafsi yake haimtumi kushiriki katika hilo na kwamba anatambua uhuru wake huo, jambo hilo si UHAINI, kama wengi wetu tunavyodhani.  Hivyo hivyo kwa mfano kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa,  na kadhalika.   Waislam wasitishwe wana kutishika na maneno makali wanayotoa viongozi ETI Waislam watachukuliwa hatua kali wasiposhiriki Sensa. 

Endapo hilo litatokea kwa sababu nchi yetu HAIFUATI MFUMO WA SHERIA (RULE OF LAW);  mhimili  wa kujihami  kwa Waislam juu ya hilo ni hiyo Ibara niliyoinukuu hapo juu.   Hata wakishtakiwa Waislam wote waliokataa kuandikishwa sensa hiyo ndio kinga yao (defence).   Wabillahi Taufiq, 

Masalaam. 
 

No comments:

Post a Comment