Tuesday, December 8, 2009

KUMWITA MWENYE ENZI MUNGU MAHAKAMANI NI KUMKUFURU

HABARI HII NIMEINUKUU KUTOKA GAZETI LA MWANA-HALISI LA TANZANIA LA Jumatano Disemba 2-8, 2009, ukurasa wa 9.

MUNGU AITWA MAHAKAMANI: Habari hii inasomeka kama ilivyo hapa chini:

MUNGU ameponea chupuchupu.
Jaji MARLON POLK wa Marekani ametupilia mbali kesi iliyokuwa imefunguliwa dhidi yake. (Astaghfirullah).

Jaji amechukua hatua hiyo kwa maelezo kuwa anuwani ya MUNGU haipatikani na hivyo hawezi kupeleka Samansi (summons) ya kutwa shaurini.

Kesi hiyo ya aina yake ilikuwa imefunguliwa na Seneta wa NEBRASKA, ERNIE CHAMBERS (pichani) ambaye sasa anasema anaweza kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa Jaji.

CHAMBERS alitaka itolewe amri ya sitisho la VIFO, UHARIBIFU na UGAIDI "VINAVYOSABABISHWA NA MUNGU".

Jaji Polk alisema katika uamuzi wake kwamba mlalamikaji alipaswa kuwa na uwezo wa kumfikia Mshitakiwa ili kesi yake iweze kuendelea kusikilizwa.

"Kutokana na mahakama hii kugundua kuwa hakuna uwezekano wa samansi kumfikia mtajwa kwenye kesi husika, mahakama hii inatupilia mbali shauri lililofunguliwa", alisema Jaji Polk katika uamuzi wake.

CHAMBERS hawezi kufugua kesi upya balianaweza kukata rufaa. Anasema bado anatafakari kwa makini uamuzi huo ili kujua kama atakata rufaa au la.

Alifungua kesi hiyo mwaka jana (2008), na kwamba alisema, "Mungu alikuwa amesababisha vifo vingi na uharibiifu na ugaidikwa mamilioni ya wakazi wa dunia."

CHAMBERS alisema, "Mahakama ilijua kuwepo kwa MUNGU na yote ayafanyayo kiasi cha kujua uwezo wake wa kujua yote. ALHAMDULLILLAH. Kwa vile MUNGU anajua kila kitu, basi ni wazi kuwa atakuwa anajua kwamba kuna shitaka hili dhidi yake." (inna lillahi wa-inna illaihi raj-uun).

Seneta huyo wa NEBRASKA kwa miaka 38, alinukuliwa akisEma alifungua shitaka hilo ili kutoa ujumbe kuwa mtu yeyote anaweza kumshitaki yeyote akiwamo MUNGU. ASTAGHFIRRULLAH!.

IMANI ILIVYOSAIDIA KUMBADILISHA MWIZI

Storeowner: A little compassion changed would-be robber's life
By Evan Buxbaum, CNN
December 3, 2009 10:50 p.m. EST
Shopkeeper Mohammad Sohail says he recited an Islamic oath over the would-be robber after he broke into sobs.
Shopkeeper Mohammad Sohail says he recited an Islamic oath over the would-be robber after he broke into sobs.
STORY HIGHLIGHTS

* Would-be robber sends letter of thanks, $50 to shopkeeper who gave him food, money, let him go
* Man broke into sobs, said he was trying to feed family when Mohammed Sohail pulled out gun
* Letter begins with, "You change my life," says Sohail inspired him to become a "true Muslim"

New York (CNN) -- Six months ago, a Long Island convenience store owner turned a would-be robbery into an act of compassion. On Wednesday, the shoplifter made amends with a $50 bill and a thank you letter for saving him from a life of crime.

The story began in May 2009, when Mohammad Sohail of Shirley, New York, was closing his Shirley Express convenience store one night. Security camera footage from that evening shows a man wielding a baseball bat barging into the store and demanding money.

Sohail had a rifle ready and quickly aimed it directly in the robber's face, forcing the man to drop the bat and lay on the ground. Unbeknownst to the man, Sohail never loads his gun.

According to Sohail, the man immediately started to plead with him, tearfully saying, "I'm sorry, I have no food. I have no money. My whole family is hungry. Don't call the police. Don't shoot me."

"When I see him starting crying [those] things, I really feel bad for him," said Sohail. "I say, oh man, this is something different."

Sohail made the man pledge never to rob anybody ever again, then gave the man $40 and a loaf bread. Sohail, who is from Pakistan, said the man then wanted to be a Muslim like him, so he recited an Islamic oath and gave the would-be robber the name Nawaz Sharif Zardari.

Sohail went to get some milk, but when he returned the man had fled with the money and food.

Both Mohammad Sohail and Suffolk County Police have no idea who the man is. After the May incident, Sohail explained that he will "absolutely not" be pressing charges, though police are still investigating the case.

Over the past six months, Sohail's story of sympathy and kindness has inspired many across the country.

The Shirley Express store has received numerous letters of admiration.

"No person has ever moved my spirit the way you did. From your biggest admirer," one letter says. "Great men are capable of great acts. You are a great American," another reads.

He has also received several checks with such messages for "a couple hundred dollars" in total, says Sohail. He has made a point to give this money "to the people" by offering free bagels, rolls and coffee in his store every night after 9 o'clock.

But the envelope that arrived on Wednesday came as a surprise. Postmarked November 11 without a return address, it enclosed a $50 bill and a note apparently from the would-be robber.

The typed letter begins, "You change My Life (sic)," and goes on to say that the man is sorry for his actions six months ago.

"At the time I had No money No food on my table No Job, and nothing for my family. I know that it was wrong, but I had know (sic) choice. I needed to feed My family. When You had That gun to my head I was 100% that I was going to die," reads the letter.

The letter says Sohail's acts inspired him to become a "True Muslim" and that his life has changed dramatically.

"I'm very happy that somebody got to change his life," Sohail said. "If he is a maybe criminal, maybe is not anymore. So now he is a good person in this community and I'm very glad for that. He's staying out of trouble, he's not in a jail, he's taking care of his family."