Friday, March 27, 2009

MABADILIKO YA WAKUU WA WILAYA TANZANIA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Imetolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)

RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya chini kwa kuwateua wapya 15, kuwastaafisha wengine saba na kuwabadilisha vituo vya kazi 54.

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) imeonyesha pia kuwa Wakuu wa Wilaya wawili watapangiwa kazi nyingine na wengine wawili wameteuliwa hivi karibuni kuongoza Jumuiya za Chama Tawala.

Mabadiliko haya yanatarajiwa kuongeza chachu katika usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za maendeleo ili kuiwezesha Serikali kufikia malengo yake, kwa mujibu wa taarifa hiyo.

Wakuu wapya wa Wilaya walioteuliwa ni Bi. Mercy Silla (Arumeru, Arusha), Bw. Norman Sigalla (Hai, Kilimanjaro), Col. Issa E. Njiku (Misenyi, Kagera), Bi. Angelina Mabula (Karagwe, Kagera), Dkt. Rehema Nchimbi (Newala - Mtwara), Francis Isaac (Mbulu, Manyara), Lt. Col. Benedict K. Kitenga (Rorya, Mara) na Lt. Col. Cosmas Kayombo (Mbarali, Mbeya).

Wengine ni Bw. Christopher Ryoba Kangoye (Kwimba, Mwanza); Bi. Queen Mwanshinga Mlozi (Ukerewe, Mwanza); Bi. Fatuma Mwassa (Mvomero, Morogoro); Bi. Fatma Ally (Nanyumbu, Mtwara); Bw. Juma Solomon Madaha (Tunduru, Ruvuma); Bw. Anatory Choya (Kishapu, Shinyanga) na Bw. Erasto Sima (Korogwe, Tanga).

Wakuu wa Wilaya waliostaafishwa na vituo vyao kwenye mabano ni Bw. Elias Maarugu (Misenyi, Kagera); Bw. Deusdedit Mtambalike (Muleba, Kagera); Bw. David Holela (Babati, Manyara); Bi. Hawa Ngulume (Mbarali, Mbeya); Bw. Mashimba H. Mashimba (Kyela, Mbeya); Col. Peter Madaha (Nyamagana, Mwanza) na Bw. Gilbert Dololo (Kibaha , Pwani).

Wakuu wa Wilaya ambao wamepangiwa kupewa kazi nyingine ni Bw. Patrick Tsere aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Ilala (Dar es Salaam) na Bi. Doreen Kisamo aliyekuwa Uyui (Tabora).

Bw. Martin Shigela aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Lindi (Lindi) aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa UVCCM wakati Bi. Husna Mwilima aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai (Kilimanjaro) aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa UWT.

Wakuu wa Wilaya waliobadilishwa vituo vya kazi ni hawa wafuatao:

Na.

JINA

KITUO CHA SASA

KITUO KIPYA

(Wilaya)

MKOA

Wilaya

  1. 1

Elias W. Lali

Arusha

Arumeru

Ngorongoro

  1. 2

Evans Balama

Arusha

Arusha

Ilala

  1. 3

Jowiko W. Kasunga

Arusha

Ngorongoro

Monduli

Col. Fabian I. Massawe

D’salaam

Kinondoni

Muleba

Abdallah A. Kihato

D’salaam

Temeke

Kyela

Bi. Zainab Kwikwega

Dodoma

Bahi

Kasulu

Dk. Ian J. Langiboli

Dodoma

Chamwino

Babati

Capt. Seif A. Mpembenwe

Dodoma

Kondoa

Handeni

Bi. Halima Dendego

Dodoma

Mpwapwa

Kilosa

Lephy B. Gembe

Iringa

Makete

Chamwino

Elaston J. Mbwilo

Iringa

Iringa

Mtwara

Bibi Darry I. Rwegasira

Iringa

Njombe

Mpwapwa

Said M. Mkumbo

Kagera

Chato

Temeke

Frank A. Uhahula

Kagera

Karagwe

Tarime

Lt. Col. John Mzurikwao

Kigoma

Kibondo

Mpanda

Saidi Bwanamdogo

Kigoma

Kasulu

Kondoa

Raymond H. Mushi

Kilimanjaro

Rombo

Arusha

Jordan Rugimbana

Kilimanjaro

Mwanga

Kinondoni

Rashid M. Ndaile

Lindi

Nachingwea

Chunya

Anna Magowa

Lindi

Liwale

Hanang

Elias Goroi

Manyara

Mbulu

Nachingwea

Capt. Geoffrey Ngatuni

Manyara

Hanang

Musoma

Saveli Maketta

Mara

Musoma

Namtumbo

Stanley Kolimba

Mara

Tarime

Uyui

Bibi Miriam L. Lugaila

Mbeya

Rungwe

Misungwi

Halima Kihemba

Mbeya

Mbozi

Kibaha

Bibi Fatuma L. Kimario

Mbeya

Chunya

Igunga

Athuman H. Mdoe

Morogoro

Kilosa

Mwanga

Hawa Ng’humbi

Morogoro

Mvomero

Makete

Gishuli M. Charles

Mtwara

Mtwara

Njombe

Jackson W. Msome

Mtwara

Newala

Rungwe

Capt. Assary Geofrey Msangi

Mtwara

Nanyumbu

Iringa

Samwel Kamote

Mwanza

Ilemela

Bukoba

Danhi Makanga

Mwanza

Kwimba

Kibondo

Magalula S. Magalula

Mwanza

Misungwi

Lindi

Paul Chiwile

Mwanza

Ukerewe

Liwale

Mathew K. Nasei

Mwanza

Magu

Muheza

Lt. Col. Serenge M. Mrengo

Pwani

Bagamoyo

Ilemela

Ali N. Rufunga

Pwani

Rufiji

Manyoni

Meja Bahati Matala

Rukwa

Sumbawanga

Kahama

Thobias Mazanzala

Rukwa

Mpanda

Sumbawanga

Gabriel Kimolo

Ruvuma

Namtumbo

Mbozi

Peter Toima Kiroya

Ruvuma

Tunduru

Rombo

Amina Masenza

Ruvuma

Mbinga

Shinyanga

Khadija R.R. Nyembo

Shinyanga

Kishapu

Chato

Col. (Mst) Edmund Mjengwa

Shinyanga

Shinyanga

Mbinga

Magesa Mulongo

Shinyanga

Bukombe

Bagamoyo

Bibi Florence A. Horombe

Singida

Singida

Bukombe

Pascal Mabiti

Singida

Manyoni

Singida

Cleophas Rugarabamu

Tabora

Igunga

Nyamagana

Kassim Majaliwa Majaliwa

Tabora

Urambo

Rufiji

Lt. Winfrid F. Ligubi

Tanga

Handeni

Urambo

Elizabeth Mkwasa

Tanga

Korogwe

Bahi

Zainab Kondo

Tanga

Muheza

Magu

No comments:

Post a Comment